Kirgizia
Kutoka Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: -- | |||||
Wimbo wa taifa: Wimbo la Taifa la Kirgizia | |||||
Mji mkuu | Bishkek |
||||
Mji mkubwa nchini | Bishkek | ||||
Lugha rasmi | Kikirgizi, Kirusi | ||||
Serikali | Jamhuri Kurmanbek Bakiyev Azim Isabekov |
||||
Uhuru ilitangazwa Ilikamilishwa |
31 Agosti 1991 25 Desemba 1991 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
199,900 km² (ya 86) 3.6 |
||||
Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - 1999 sensa - Msongamano wa watu |
5,264,000 (ya 111) 4,896,100 26/km² (ya 176) |
||||
Fedha | Som ya Kirgizia (KGS ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
KGT (UTC+6) (UTC) |
||||
Intaneti TLD | .kg | ||||
Kodi ya simu | +996 |
Kirgizia (Kikirgizi: Кыргызстан (Kyrghyzstan); Kirusi: Киргизия (Kirgizia), pia Kirgiztan, Kirigizistaniau Kigistani) ni nchi ya Asia ya Kati. Imepakana na Kazakhstan, Uzbekistan, Tajikistan na China. Neno "Kyrgyztan" lamaanisha "nchi ya makablia 40" kwa lugha ya Kikirgizi.
[hariri] Wakazi
Idadi ya wakazi ilihesabiwa 2005 kuwa watu 5,264,000. Takriban 70 % kati yao ni Wakirgizi wenyewe, halafu kuna Warusi (9 %), Wauzbeki (14.5%) hasa katika kusini. Takriban tatu robo ni Waislamu.
[hariri] Historia
Hadi mwaka 1991 Kirgizia ilikuwa sehemu ya Umoja wa Kisovyet. Ilijulikana kwa jina la "Jamhuri ya Kisovyeti ya Kikirgizi" hadi 1991. Ilipata uhuru wake katika mwendo wa kuporomoka kwa Umoja wa Kisovyeti.
Kabla ya uhuru yalitokea mabadiliko katika uongozi wa chama cha kikomunisti. Viongozi wapya waliotafuta njia bila udikteta kali walishika uongozi na rais Askar Akayev alirudishwa madarakani katika uchaguzi wa kwanza na wa pili.
Lakini uchaguzi wa mwaka 2005 ulionekana haukuwa huru na hasira ya wananchi ikalipuka katika mapinduzi. Uchaguzi mpya ukamteua mpinzani wa awali Kurmanbek Bakiyev aliye rais kwa sasa.
Makala hiyo kuhusu "Kirgizia" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kirgizia kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China. |