Tajikistan
Kutoka Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: -- | |||||
Wimbo wa taifa: Surudi Milli | |||||
Mji mkuu | Dushanbe |
||||
Mji mkubwa nchini | Dushanbe | ||||
Lugha rasmi | Kitajiki (Kiajemi ya Tajikistan) | ||||
Serikali
Rais
Waziri Mkuu |
Jamhuri Emomali Rahmonov Okil Okilov |
||||
Uhuru kutoka Umoja wa Kisoviet Mwanzo wa Dola la Samaniya |
9 Septemba 1991 875 BK |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
143,100 km² (ya 95) 0.3 |
||||
Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - 2000 sensa - Msongamano wa watu |
6,507,000 1 (ya 100 1) 6,127,000 45/km² (ya 151) |
||||
Fedha | Somoni (TJS ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+5) (UTC) |
||||
Intaneti TLD | .tj | ||||
Kodi ya simu | +992 |
||||
1.) Rank based on U.N. 2005 figures. Estimate based on CIA figures for 2006. |
Tajikistan ni nchi ndogo ya Asia ya Kati.
Imepakana na Uchina, Afghanistan,Uzbekistan na Kyrgyzstan. Tajikistan haina pwani na bahari yoyote.
Eneo lake ni 143,100 km². Idadi ya wakazi ni milioni 6,5.
Sehemu kubwa ya nchi ni milima ya Pamir yenye kimo kati ya 3600 hadi 4400 m.
[hariri] Historia
Kihistoria maeneo ya Tajikistan yalitawaliwa na madola mbalimbali, hasa na Uajemi.
Uislamu ulifika hapa mnamo mwaka 800 BK.
Mwaka 1868 Tajikistan ilivamiwa na Urusi na kuwa sehemu ya Dola la Urusi na sehemu ya Umoja wa Kisovyet baada ya mapinduzi ya 1917. Iliitwa Jamhuri ya Kisovyet ya Kisoshialist ya Tajikistan.
.
Baada ya kuporomoka kwa Umoja wa Kisoviet Tajikistan ilipata uhuru wake mwaka 1991.
Kati ya 1992 hadi 1997 kulikuwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyokwisha kwa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.
Baada ya mashambulio ya kigaidi ya 11 Septemba 2001 jeshi la Marekani lilipata nafasi ya kutumia vituo vya kijeshi kwa ajili ya vita katika Afghanistan.
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China. |