26 Julai
Kutoka Wikipedia
Jun - Julai - Ago | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
[hariri] Matukio
- 1497 - Katika safari yake ya kwanza, Vasco da Gama anafikia visiwa vya Cabo Verde.
- 1952 - Nchi ya Misri inapata uhuru kutoka Uingereza.
[hariri] Waliozaliwa
- 1678 - Kaisari Joseph I wa Ujerumani
- 1829 - Auguste Beernaert (mwanasiasa Mbelgiji na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1909)
- 1856 - George Bernhard Shaw (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1925)
- 1964 - Sandra Bullock, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani