6 Julai
Kutoka Wikipedia
Jun - Julai - Ago | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
[hariri] Matukio
- 1758 - Uchaguzi wa Papa Klementi XIII
- 1964 - Nchi ya Malawi inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 1975 - Visiwa vya Komori vinapata uhuru kutoka Ufaransa.
[hariri] Waliozaliwa
- 1859 - Verner von Heidenstam (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1916)
- 1903 - Hugo Theorell (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1955)
- 1946 - George W. Bush, Rais wa Marekani (tangu 2001)
[hariri] Waliofariki
- 1962 - William Faulkner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1949)
- 1971 - Louis Armstrong (mpuliza tarumbeta wa Jazz)
- 2005 - Claude Simon (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1985)