1925
Kutoka Wikipedia
Miaka: | 1922 1923 1924 - 1925 - 1926 1927 1928 |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
- 9 Januari - Lee van Cleef, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 20 Januari - Ernesto Cardenal
- 12 Machi - Leo Esaki (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1973)
- 8 Mei - Ali Hassan Mwinyi
- 19 Mei - Malcolm X
- 23 Mei - Joshua Lederberg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958)
- 25 Mei - Shehu Shagari, Rais wa Nigeria (1979-1983)
- 11 Juni - William Styron (mwandishi Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1968)
- 2 Julai - Patrice Lumumba, Waziri Mkuu wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- 20 Julai - Frantz Fanon
- 28 Julai - Baruch Blumberg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1976)
- 15 Agosti - Oscar Peterson, mwanamuziki wa Kanada
- 24 Novemba - Simon van der Meer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1984)
[hariri] Waliofariki
- 5 Desemba - Wladyslaw Reymont (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1924)