2007
Kutoka Wikipedia
Miaka: | 2004 2005 2006 - 2007 - 2008 2009 2010 |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
[hariri] Waliofariki
- 17 Januari - Alice Lakwena wa Uganda
- 26 Juni - Amina Chifupa, mwanasiasa wa Tanzania
- 23 Julai - Ernst Otto Fischer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1973
- 18 Oktoba - Lucky Dube, mwanamuziki kutoka Afrika Kusini
- 16 Desemba - Benedict Kiroya Losurutia, mwanasiasa wa Tanzania
- 23 Desemba - Oscar Peterson, mwanamuziki kutoka Kanada