17 Januari
Kutoka Wikipedia
Des - Januari - Feb | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
[hariri] Waliofariki
- 395 - Theodosius Mkuu, Kaisari wa Dola la Roma
- 1893 - Rutherford B. Hayes, Rais wa Marekani (1877-1881)
- 1961 - Patrice Lumumba, Waziri Mkuu wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- 2002 - Camilo Jose Cela (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1989)
- 2007 - Alice Lakwena wa Uganda