1886
Kutoka Wikipedia
Miaka: | 1883 1884 1885 - 1886 - 1887 1888 1889 |
[hariri] Matukio
- 4 Oktoba - Kuundwa kwa mji wa Johannesburg
[hariri] Waliozaliwa
- 8 Machi - Edward Kendall (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950)
- 16 Mei – Douglas Southall Freeman (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1935)
- 13 Septemba - Robert Robinson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1947
- 26 Septemba - Archibald Vivian Hill (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1922)
- 20 Novemba - Karl von Frisch (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1973)
- 3 Desemba - Karl Manne Siegbahn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1924)
[hariri] Waliofariki
- 18 Novemba - Chester Arthur, Rais wa Marekani (1881-1885)