1969
Kutoka Wikipedia
Miaka: | 1966 1967 1968 - 1969 - 1970 1971 1972 |
[hariri] Matukio
- 20 Julai - Wanaanga Neil Armstrong na Buzz Aldrin ni watu wa kwanza kufika kwenye uso wa mwezi.
- 1 Septemba - Mapinduzi ya Libya; maafisa chini ya Muammar al-Gaddafi wanampindua mfalme Idris I na kutangaza jamhuri.
[hariri] Waliozaliwa
[hariri] Waliofariki
- 28 Machi - Dwight D. Eisenhower, Rais wa Marekani (1953-1961)
- 9 Agosti - Cecil Frank Powell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1950
- 17 Agosti - Otto Stern (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1943)