Rasi ya Uarabuni
Kutoka Wikipedia
.
Rasi ya Uarabuni ni rasi kubwa ya Asia pia ya dunia katika Asia ya Magharibi. Inaitwa pia Bara Arabu.
Kwa macho ya gandunia rasi hii ni karibu sawa na bamba la Uarabuni.
Imepakana na Bahari ya Shamu upande wa Kusini, Ghuba ya Uajemi upande wa Kusini-magharibi na Bahari Hindi upande wa Kusini.
Katika karne ya 20 nchi za Uarabuni zilipata nafasi ya kutajirika kwa sababu ya mafuta mengi ya petroli inysolala chini ya ardhi yao.