Mkoa wa Pemba Kusini
Kutoka Wikipedia
Mkoa wa Kusini Pemba mi moja ya mikoa 26 za Tanzania. Iko katika sehemu ya kusini ya Kisiwa cha Pemba ambacho ni sehemu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar katika Tanzania.
Makao makuu ya mkoa ndipo Mkoani. Mkoa una wilaya mbili tu, Mkoani na Chake Chake Mwaka 2002 mkoa ulikuwa na wakazi 176,153.
[hariri] Viungo vya Nje
|
|
---|---|
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Iringa | Kagera | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi | |