Kishineu
Kutoka Wikipedia
Kishineu (tamka: ki-shi-ne-u; Kiromania Chişinău (matamshi kama mbele); kwa mwandiko wa kikirili Кишинэу, Kirusi Кишинёв "kishinyev") ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Moldova mwenye wakazi 600,000.
Yaliyomo |
[hariri] Jiografia
Mji uko kwa 47°0′N 28°55′E kando la mto Bich (Bîc) amabo ni tawimto wa Dnestr . Eneo la mji ni 120 km². Kishineu iko katikati ya nchi ya Moldova.
Kuna vyuo vingi pamoja na shule, makumbusho na nyumba za igizo. Mji una viwanda vingi.
[hariri] Wakazi
Kati ya wakazi kuna vikundi vifuatayo kufuatana na lugha:
[hariri] Viungo vya Nje
- Official site of Chişinău (in Romanian only)
- Old (1995) Chişinău Photo-Gallery - a lot of artistic photos
- Chişinău telephone directory (primarily in Russian, some minimal content in English, French, German)
- Chişinău - Portail Moldavie (in French)
- Chişinău - Magazine Moldavie (in French)
- Jewish community of Chişinău
- Kishinef(Kishinev), by Rosenthal, Herman & Rosenthal, Max, in the Jewish Encyclopedia (1901-1906)
- Pro TV
- 2005 Chişinău election for mayor