Wadoe
Kutoka Wikipedia
Wadoe ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Bagamoyo. Lugha yao ni Kidoe.
Makala hiyo kuhusu "Wadoe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wadoe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |