Sean Kingston
Kutoka Wikipedia
Sean Kingston |
|
---|---|
|
|
Jina la Kiraia | Kisean Anderson |
Jina la kisanii | Sean Kingston |
Nchi | Marekani-Jamaika |
Alizaliwa | 3 Februari, 1990 |
Aina ya muziki | Reggae pop pop rap |
Kazi yake | Mwanamuziki |
Miaka ya kazi | 2007 - hadi leo |
Ameshirikiana na | Buju Banton J. R. Rotem Paula DeAnda |
Kampuni | Beluga Heights Epic Koch |
Kisean Anderson (amezaliwa tar. 3 Februari, 1990 mjini Miami, Florida, Marekani) anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Sean Kingston, ni rapa na mwimbaji wa raggae wa Kijamaika-Marekani. Japokuwa, Sean alizaliwa Marekani, lakini makuzi yake yote yalikuwa mjini Kingston, Jamaika, aliondoka Marekani akiwa na umri wa miaka sita. Jina hilo analo tumia la "Sean Kingston" amemaanisha kuwa kama anatoa heshima kwa Kingston, Jamaica. Sean vile vle ana urafiki mkubwa na baadhi ya waimba Reggae maarufu nchini Jamaika (Buju Banton) ambaye pia ndiye aliyemshauri Sean kujiusisha na maswala ya muziki.
Yaliyomo |
[hariri] Albamu alizotoa
[hariri] Nyimbo maarufu
- 2007: "Beautiful Girls"
- 2007: "Me Love"
- 2007: "Take You There"
- 2007: "There's Nothin'" (featuring Paula DeAnda)
- 2007: "Gotta Move Faster"
[hariri] Nyimbo alizoshiriki
- 2007: "Love Like This" (Natasha Bedingfield akishrikiana na Sean Kingston)
- 2007: "Big Girls Don't Cry (nyimbo ya Fergie)|Big Girls Don't Cry (Remix)" (Fergie (mwimbaji) |Fergie akishrikiana na Sean Kingston)
- 2007: "What Is It" (Baby Bash akishrikiana na Sean Kingston)
[hariri] Nyimbo alizokuwa mgeni mwalikwa
- 2007 "Love Like This (nyimbo ya Natasha Bedingfield ) Love Like This" (Natasha Bedingfield akishrikiana na Sean Kingston)
- 2007 "Big Girls Don't Cry (nyimbo ya Fergie) Big Girls Don't Cry (Remix)" (Fergie (mwimbaji |Fergie akishrikiana na Sean Kingston)
- 2007 "Too Young" (Lil Fizz akishrikiana na Sean Kingston)
- 2007 "Shorty Got Back" (Eric akishrikiana na Francisco na Sean Kingston)
- 2007 "Doin' Dat" (Clyde Carson akishrikiana na Sean Kingston)
- 2007 "Like This (nyimbo ya MIMS ) Like This (remix)" (MIMS akishrikiana na She Dirty, Sean Kingston, Red Cafe, na N.O.R.E.)
- 2007 "Real D-Boy" (Triple C akishrikiana na Sean Kingston)
- 2007 "Welcome two My Hood" (Ya Boy akishrikiana na Sean Kingston)
- 2007 "Dollar Bill (Remix)" (Red Cafe akishrikiana na Jermaine Dupri, Juelz Santana, Sean Kingston na Busta Rhymes)
- 2007 "Smile" (Lil Wayne akishrikiana na Sean Kingston)
- 2008 "Gangster" (Bun B akishrikiana na Sean Kingston) (imeshatangazwa kuwa nyimbo hiyo kuwa itatolewa pamoja na albamu ya 2 Trill)
[hariri] Tuzo/Uteuzi
- Tuzo ya MOBO
- 2007: Mwimbaji bora wa Reggae
- Tuzo ya Teen Choice
- 2007: Choice R&B nyimbo "Beautiful Girls"
- 2007: Choice Summer nyimbo "Beautiful Girls" (imeteuliwa kuwa nyimbo bora)
[hariri] Marejeo
- http://www.billboard.com/bbcom/bio/index.jsp?pid=852865
- http://www.nypost.com/seven/08122007/business/no_rap_turf_war_here_business_.htm
[hariri] Viungo vya nje
- Tovuti rasmi ya Sean Kingston
- Tovuti rasmi ya Sean Kingston katika UK
- Sean Kingston's Koch Records page
- Sean Kingston katika MySpace
- Officiella SonyBMG sidan på Svenska
- DJBooth.net Interview
- Exclusive Music Interview
|
|
---|---|
Albamu | Sean Kingston |
Nyimbo maarufu | "Beautiful Girls" · "Me Love" · "Take You There" · "There's Nothin'" |
Nyimbo zingine | "Big Girls Don't Cry (Remix)" · "Love Like This" · "What Is It" |
Makala zinazohusiana | Sean Kingston |