Msenge
Kutoka Wikipedia
Msenge ni neno la kutaja aina ya watu ambao hujiigiza, kujiskia, kujifikiria na kujiona tofauti na jinsia zao walizopewa tangu kuzaliwa. Neno hili kuna kipindi huitwa 'Shoga.' Kundi hili dogo hujumlisha watu wanaojamiiyana sawa na wengine yaani mume na mke, lakini wao ni dume kwa dume na kujisikia sawa na wenzao ilhali si sisawa na wenzao.
Wasenge wengi hupenda kujiita mashoga na kujiona kwamba jinsia walizopewa si sahihi. Kuna baadhi ya wasenge hujiingiza katika maswala ya kucheza filamu za ngono, ni hasa wasenge wa Mabara makubwa kama vile Ulaya, Asia, Amerika na kadhalika.
Pia kuna wale wanaoitwa Transsxual, hawa ni miongoni mwa watu waliozaliwa na jinsia ya kiume na akataka afanyiwe upasuaji ili awe mwanamke. Mara nyingi wanaume ndiyo hutaka kubadilishwa jinsia na kuwekewa ya kike.