Mhozo
Kutoka Wikipedia
Mhozo | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mhozo utosi-mweupe
|
||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Mihozo ni ndege wa jenasi Oenanthe na Saxicola. Zamani wataalamu waliwaweka katika familia ya mikesha (Turdidae), lakini siku hizi mihozo huainiwa baina ya shore (Muscicapidae). Mihozo wana mabaka maalum meusi na meupe au mekundu na meupe kwa kiuno na mkia wao mrefu. Ndume ni maridadi kuliko jike. Hukaa chini na hula wadudu. Wanatokea nyanda kavu katika Afrika, Ulaya na Asia. Spishi zinazozaa katika nchi za kaskazini huhamia Afrika wakati wa baridi. Hujenga matago yao ndani ya mianya ya miamba au vishimo visivyotumika.
[hariri] Spishi za Afrika
- Oenanthe bottae, Mhozo Habeshi (Red-breasted Wheatear)
- Oenanthe cypriaca, Mhozo wa Cyprus (Cyprus Wheatear)
- Oenanthe deserti, Mhozo-jangwa (Desert Wheatear)
- Oenanthe finschii, Mhozo wa Finsch (Finsch's Wheatear)
- Oenanthe heuglini, Mhozo wa Heuglin (Heuglin's Wheatear)
- Oenanthe hispanica, Mhozo Masikio-meusi (Black-eared Wheatear)
- Oenanthe isabellina, Mhozo Kidari-pinki (Isabelline Wheatear)
- Oenanthe leucopyga, Mhozo Utosi-mweupe (White-crowned Wheatear)
- Oenanthe leucura, Mhozo Mweusi (Black Wheatear)
- Oenanthe lugens, Mhozo-msiba (Mourning Wheatear)
- Oenanthe moesta, Mhozo Kiuno-chekundu (Red-rumped Wheatear)
- Oenanthe monacha, Mhozo Rangi-mbili (Hooded Wheatear)
- Oenanthe monticola, Mhozo-mlima (Mountain Wheatear)
- Oenanthe oenanthe, Mhozo wa Ulaya (Northern Wheatear)
- Oenanthe phillipsi, Mhozo Somali (Somali Wheatear)
- Oenanthe pileata, Mhozo Utosi-mweusi (Capped Wheatear)
- Oenanthe pleschanka, Mhozo Mgongo-kijivu (Pied Wheatear)
- Oenanthe xanthoprymna, Mhozo Mkia-mwekundu (Persian au Red-tailed Wheatear)
- Saxicola bifasciata, Mhozo Nyusi-nyeupe (Buff-streaked Chat)
- Saxicola dacotiae, Mhozo wa Kanaria (Fuerteventura au Canary Island Stonechat)
- Saxicola rubetra, Mhozo Mchirizi-mweupe (Whinchat)
- Saxicola tectes, Mhozo wa Reunion (Réunion Stonechat)
- Saxicola torquata, Mhozo Kidari-chekundu (African Stonechat)
[hariri] Spishi za mabara mengine
- Oenanthe alboniger (Hume's Wheatear)
- Oenanthe picata (Variable Wheatear)
- Saxicola bifasciata (Buff-streaked Bushchat)
- Saxicola caprata (Pied Bushchat)
- Saxicola ferrea (Grey Bushchat)
- Saxicola gutturalis (White-bellied au Timor Bushchat)
- Saxicola insignis (Hodgson's au White-throated Bushchat)
- Saxicola jerdoni (Jerdon's Bushchat)
- Saxicola leucura (White-tailed Stonechat)
- Saxicola macrorhyncha (Stoliczka's au White-browed Bushchat)
- Saxicola maura (zamani S. torquata maura) (Siberian au Asian Stonechat)
- Saxicola rubicola (zamani S. torquata rubicola) (European Stonechat)